Tumepata ujumbe kutoka kwa mmoja wa majirani wa Emmanuel Mbasha ambae hakutaka jina lake litajwe, ujumbe huo ulisema ” Kuna kijana wa kazi toka Singida alikuwa anaishi na Emmanuel Mbasha, amejinyonga na kuacha ujumbe kuwa kwa yaliyomkuta ameamua bora ajinyonge. Walikuwa wanaishi na Mbasha tu huko ndani na baada ya kujinyonga Mbasha amefanya siri kubwa mno hawakuweka hata msiba. Kijana alijinyonga Ijumaa na ndugu wakatafutwa wakaenda kureport polisi kwa ajili ya mazishi na wamemsafirisha kwenda kuzika Singinda. Mbasha hakuta majirani tujue. Mnaweza mtafuta kwa maelezo zaidi maana nikiandika hapa yeye ndo mwenye ukweli alimfanyia nini kijana wa watu.”
Bado tunafanya jitihada za kumtafuta Mbasha kwa ajili ya kuzungumzia suala hili…
0 comments:
Post a Comment