Tuesday, December 30, 2014
On 12:01 AM by Unknown No comments
KIWA imebakia siku moja kabla ya mwaka 2014 kumalizika, jiji la Dar es Salaam limejikuta likigubikwa na mauaji ya mara kwa mara, hasa ya kutumia silaha baada ya kubainika kuzagaa kwa bastola zilizo mikononi mwa watu waovu.
Madaraka.
Silaha hizo sasa zimekuwa kama simu za mikononi ambazo karibu kila mtu jijini Dar es Salaam anayo na hivyo kuwapa hofu kubwa wananchi ambao hawajui lini na wapi litatokea tukio la ujambazi, hasa kutokana na msongamano mkubwa wa watu.
Matukio mengi ya ujambazi yanayofanyika nyakati za mchana kweupe, yanafanywa na majambazi ambao wanatajwa kutumia pikipiki hasa aina ya Boxer, zinazoaminika kuwa na kasi kuliko aina nyingine na usafiri ambao hauwezi kukwama kwenye foleni.
Baadhi ya matukio yanayomaliza mwaka na kuzidisha hofu kwa watu ni kama lile lililotokea Tabata Kisukuru, mwishoni mwa wiki iliyopita, ambapo kijana aliyetajwa kwa jina la Mahamud Ally (19) kuuawa kwa kupigwa risasi na mtu mmoja anayedaiwa kukerwa na kelele za majirani kwenye sherehe za send off.
Ilidaiwa kwamba mtu huyo hakupendezwa na kelele hizo na mara kadhaa alitoka nje na kuwaamuru watu kukaa mbali na nyumba yake, lakini hawakutaka kusikia. Alipoona watu wanakaidi, anadaiwa kwenda kuchukua bastola yake na kuanza kupiga risasi ovyo hewani, ambayo mojawapo ilienda kumkuta marehemu, ambaye alikuwa ni mpita njia.
Ochola.
“Nakumbuka siku ya tukio majira ya saa tano na nusu usiku nikiwa na wenzangu kwenye sherehe, tukijitayarisha kukusanya vifaa vya muziki ili tufunge, ndipo jirani yetu alitoka nyumbani kwake na kuanza kufyatua risasi ovyo, ya kwanza ilimpata Mahamud kichwani na nyingine bega la kushoto akawa amedondoka chini, risasi zilizidi kumiminwa na moja ikanipata shavuni,” alisema mmoja wa majeruhi, aliyejitambulisha kwa jina la Goodluck.
Kaka wa marehemu aliyejitambulisha kwa jina la Salim Ally alisema mdogo wake alikuwa na miezi miwili tu tokea aje Dar kwa ajili ya kufanya kazi za ujenzi akitokea kwao Morogoro na siku ya tukio, alikuwa ametoka kuachana naye kumsindikiza kwenda kulala.
Katika tukio lingine, huko Tabata Mawenzi, mtu mmoja aitwaye Richard Shukuru Mwaikimba (26) naye alipigwa risasi na kufa baada ya kujaribu kumsaidia mfanyabiashara mmoja wakala wa mitandao ya fedha ya simu za mikononi, aliyevamiwa na majambazi hao wapatao watatu.
Ilidaiwa kuwa Richard na wenzake walishuku kuwepo kwa uporaji dukani kwa Tatu, hivyo wakajikusanya ili kwenda kusaidia, lakini walipokaribia, jambazi mmoja alichomoa bastola na kumpiga marehemu kabla ya wote watatu kupanda pikipiki moja na kutokomea kusikojulikana baada ya kupora fedha.
Marehemu ambaye alikuwa mwenyeji wa Bukoba, na aliyetarajiwa kuzikwa Dar wiki hii, aliwahishwa hospitalini Amana kwa ajili ya kupatiwa matibabu, lakini alifariki muda mfupi baada ya kufikishwa.
Katika tukio lingine, majambazi waliokuwa na bastola, walivamia na kupora mamilioni ya fedha katika baa ya Mawela iliyopo Sinza baada ya kuwalazimisha watu kutoa fedha na simu walizokuwa nazo wakati wakinywa huku wakitazama mpira.
Mlinzi wa baa hiyo, Peter Otieno Ochola, akiamini amejificha, alijaribu kupiga simu Polisi ili kuomba msaada, lakini majambazi hao walimuona na kumpiga risasi ya kichwani iliyosababisha mauti yake.
Meneja wa baa hiyo, Steven Richad alisema kwamba majambazi hao walifika katika eneo hilo wakiwa na pikipiki nne na kufyatua risasi wakiwataka walale chini na kila mmoja atoe simu na fedha alizokuwa nazo.
“Siku hiyo watu walijaa sana kwa vile kulikuwa na mpira, walichukua vile walivyovitaka na hata huku kaunta waliingia na kupora zaidi ya shilingi milioni tatu, deki na lap top,” alisema.
“Siku hiyo watu walijaa sana kwa vile kulikuwa na mpira, walichukua vile walivyovitaka na hata huku kaunta waliingia na kupora zaidi ya shilingi milioni tatu, deki na lap top,” alisema.
Shukulu.
Kana kwamba haitoshi, amani na utulivu umeendelea kuwa tete jijini Dar es Salaam, baada ya dada mmoja aliyefahamika kwa jina la Gloria Uroki, naye kuuawa kwa kupigwa risasi kichwani mchana wa Jumatatu iliyopita, baada ya majambazi hao kumshuku kuwa alikuwa akiwasiliana na polisi kuhusu tukio lao.
Tukio hilo lilitokea Kinondoni Morocco baada ya majambazi hao waliokuwa wanne, kumfuatilia mwanamke mmoja aliyekuwa amepanda daladala kutoka kusikojulikana. Mara baada ya kushuka, kijana mwingine naye alishuka kutoka katika gari hilo na kumtaka kumkabidhi mkoba huo, alipokataa alitolewa bastola na hivyo kumkabidhi.
Lakini baada ya kuporwa mkoba huo, mwanamke huyo alianza kupiga mayowe yaliyosababisha majambazi hao waliokuwa na pikipiki mbili kuanza kukimbia. Akiwa hajui hili wala lile, Gloria alikatisha barabara akizungumza kwa simu yake ya mkononi.
Wananchi mbalimbali waliozungumza na gazeti hili wameilaumu serikali kwa kushindwa kudhibiti ongezeko kubwa la silaha aina ya bastola, kwani hivi sasa ni nyingi mithili ya simu za mikononi.
“Tunajua baadhi ya silaha hizi siyo halali kwa maana wamiliki wamejipatia kwa njia za panya, lakini ni jukumu la serikali kuhakikisha kunakuwepo na udhibiti. Ongezeko hili la silaha liangaliwe, hasa sehemu za mipakani na kwenye kambi za wakimbizi,” alisema Zabanga Komu wa Mwenge, jijini Dar es Salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Search
Translate
Popular Posts
-
Leo wanawake wenzangu kwenye safu yetu hii pendwa nimewaletea mada moja nzito ambayo ukiiendekeza unavunja nyumba yako hivihivi unajiona.H...
-
Utandawazi utawaabisha wengi kwani hizi simu zetu ukizubaa kidogo mtu anakupiga picha hata kama hujadhamiria kufanya hivi.
-
Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela AIBU ilioje! Denti wa chuo kimoja jijini Dar, anayefahamika kwa jina moja la Martha, amepiga...
-
Hebu niambie...umeshawahi kujichua? Mara ngapi? Bado unaendelea na mchezo huo? Vipi, umewahi kusikia watu wakizungumza kuhusu suala hilo? ...
-
Wanachuo wazidi kuwa mfano mbaya licha kuonekana wasomi na ndio tegemeo kwa taifa la kesho lakini cha ajabu wanazidi kufanya madudu badal...
-
MDADA MWENYEWE NI HUYU. DENT mmoja katika Chuo Kikuu kimojawapo hapa nchini amepiga picha zisizo na maadili akiwa na njemba wake katika ...
-
Kweli dunia inamambo watu kadhaa wamekamatwa na kamera zetu wkingonoka bila uoga wowote tena hadharani hebu ona picha hapa
-
Hivi Majuzi mke wa Mchungaji mmoja amekamatwa laivu akingonoka vichakani umbali kidogo kutoka katika nyumbani kwake Mke wa Mchungaji a...
-
Polisi mkoani Tanga wamesema wataendesha msako wa kuwakamata watu wanaofanya biashara ya ngono katika nyumba za starehe na mitaa maarufu ...
Blog Archive
-
▼
2014
(168)
-
▼
December
(168)
- BAADA YA KIMYA CHA MUDA MREFU MREMBO RAYUU AIBUKA ...
- Polisi Yatangaza Msako kwa Wanawake Wanaofanya Bia...
- Nimeamua Kutoka Kimapenzi na Binti wa Kazi ( Hausi...
- Samantha Apokelewa Kwa Mikono Miwili na Familia ya...
- PHOTO’S: HIVI NDIVYO ALIVYOPOKELEWA DIAMOND NA KUN...
- SIMBA YAFUKUZA MAKOCHA
- DIAMOND PLATNUMZ ATUA RWANDA KWA SHANGWE
- WAIMBA INJILI WANA NINI?
- MWANAMKE ADAIWA KUTEKA WATOTO
- BASTOLA TISHIO DAR!
- VANESSA AWATOA KIMASOMASO WASANII WA KIKE
- Bilionea wa Nigeria ampiku Oprah na kuwa mwanamke ...
- Mvua Yaua Jijini Dar.....Mtoto Asombwa na Maji aki...
- Binti Ajizalisha na kutumbukiza mtoto kwenye ndoo
- Mgombea urais atabiriwa kifo.....Yadaiwa Atafariki...
- Washitakiwa mauaji ya Dk Mvungi wazua kizaazaa mah...
- Hili ni Fundisho Kwa Wanaume Wanaopenda Kutongoza ...
- MAKAVU LIVE!!!:: UTAMU WA MUA UKIKUTANA NA KIFUNDO...
- Wajua Jinsi ya Kumdhibiti Mpenzi Anayepiga Mizinga?
- PICHA ZA UTAMU ZA DENTI WA CHUO KIKUU CHA UDOM ZAN...
- Bi dada... Utafanya nini? Mmeo Anatembea na binti ...
- Waziri Nyalandu atangaza nia ya kuwa Rais wa Tanzania
- Kashfa ya Escrow ndo sababu kuu ya Anguko la CCM-W...
- Tibaijuka: Nitagombea Ubunge Mwakani licha ya Saka...
- Mwenyekiti wa CHADEMA Atimuliwa nchini kwa madai k...
- UCHAWI:BIBI KIZEE AKUTWA KAANGUKA NJE YA KANISA AS...
- TAZAMA JINSI SIKUKUU YA KRISMAS INAVYOENDELEA KATI...
- BAADA YA KIMYA KIREFU MSANII 'Q CHIEF' SASA KUACHA...
- LAANA YA SIKU : :VIJANA WAFANYA USHENZI KUPITILIZA
- LAANA..!!! BOFYA UONEE VIZURII DADA HUYU ALIVYOAMU...
- PICHA ZA UCHI ZA MSANII MAARUFU WA KIKE AKILIWA TI...
- ZAIDI YA LAANA: HUU NDIOUCHAFU ULIOFANYIKA JANA KW...
- RAIS OBAMA AITWA TUMBILI NA KOREA KASKAZINI!
- DAVINA:STEVE NYERERE NI MTU POA ILA ANA VIMATATIZO...
- DIAMOND PLATNUMZ HANA UWEZO WA KUMPA MWANAMKE UJAU...
- KAKA NA DADA WANASWA LAIVU WAKIFANYA MAPENZI,WAFAN...
- MAJANGA !!! MKE WA MTU AWEKA PICHA CHAFU KATIKA UK...
- WASTARA KUMUANIKA MRITHI WA SAJUKI
- Hizi Ndizo Sifa Za Mtu Anayefaa Kuwa Rais Ajaye ,W...
- Dunia Imeisha Tizama Picha Za Hawa Wadada Walizopo...
- DAVIDO ALA DENDA NA SHABIKI AKIWA STEJINI!!!
- DUNIA IMEKWISHA CHEKI PICHA YA MCHUMBA WA MTU AKIN...
- AFARIKI DUNIA BAAADA YA KULIPULIWA NA BOMU ALILOTA...
- HILI NI FUNDISHO KWA WAKE ZA MARAISI AFRIKA!!!HUYU...
- LIPUMBA NA ZITTO KABWE WAPANGA KUWASHA MOTO WA ESC...
- HIVI NDIVYO TIBAIJUKA ALIVYOTEMA CHECHE HUKO JIMBO...
- HIVI UNAFAHAMU KUWA LIPUMBA ALISHAWAHI KUWA MSAIDI...
- BUBU Afanyiwa Unyama wa Kutisha......Wanaume Watan...
- Hausiboi Aliyelawiti Mtoto wa Miaka 6 Ahukumiwa Ki...
- BAKWATA Yasisitiza kuwa Maamuzi ya Rais Kikwete ku...
- Matokeo Mabaya ya CCM Singida: Nyalandu Abebeshwa ...
- HII NI NOMA..!! JIONEE PICHA 15 ZA HUYU MZUNGU ALI...
- JINSI YA KUJIZUIA USIKOJOE MAPEMA NA HIVYO KUSHIND...
- Krismasi ni Escrow kila kona
- Vijana Watatu Wakamatwa Wakijaribu Kuiba Sanamu ya...
- Rais Kikwete atakiwa kuwachukulia hatua Mawaziri W...
- CCM yaongoza matokeo ya jumla serikali za mitaa
- Ukawa Mkilifanya Hili, 2015 Mnashinda kwa Zaidi ya...
- Ray C: Nina uhakika Alikiba Akipata Support ya Dia...
- Panapo Fuka Moshi Kuna Moto..Habari za Millard Ayo...
- Bifu la Davido na Wizkid Limeisha, La Ally Kiba na...
- Sserunkuma atupia mbili, aonyesha cheche Zenji
- SAFARI YA MABALOZI KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KATIK...
- VODACOM TANZANIA ILIVYOWARUSHA WATEJA WAKE KILA KO...
- Waziri Muhongo aanza Ziara ya Siku 6 Mkoani Mara k...
- MADAWA YA KULEVYA HATARI ZAIDI KWA WASANII
- KUNDI LILILOPATA PIGO ZAIDI 2012-14
- SHOO YA DIAMOND DAR LIVE YAACHA HISTORIA
- R.I.P WASANII WETU! KINACHOWAUA KWA KASI CHAJULIKANA
- FAIZA: MIMI SIYO MBULULA KWA KUVAA PEMPASI
- BALAA LA KRISMASIMREMBO APOTEZA FAHAMU
- DUH!! JE WAJUA KILICHOMPATA MENEJA WA CLOUDS JUU Y...
- AIBU YA MWAKA!!!!!! TAZAMA ALICHOFANYIWA DADA HUYU...
- PICHA ZA WATU WAZIMA WAKINGONOKA HADHARANI HII NI ...
- TAMASHA LA TUONANE JANUARY (TUO8 JANUARY) LAFANA M...
- JINSI YA KUMTOA MWANAMKE BIKRA BILA MAUMIVU ........
- Diamond Aeleza Demu Aliemtungia Wimbo Wake Mpya Wa...
- Ona Mama Diamond Jinsi Anavoonekana Kuwa Chanzo Ch...
- FUMANIZI!!! PATA KUONA ALICHOFANYIWA DADA HUYU BAA...
- MJUE MKE MTARAJIWA WA MASANJA MKANDAMIZAJI!, IONE ...
- WANACHUO WANAOPIGA PICHA ZA UTUPU WAZIDI KUONGEZEK...
- Baadhi ya Picha za Wema na Van Vicker Wakiwa Katik...
- Nimeamini, Mabinti wa Kichaga Hawajui Mapenzi Hata...
- Wavulana Ma-handsome Hawana Lolote Kitandani..Kazi...
- Yamenikuta: Mchumba wangu amezaa angali bikra
- Rais Kikwete Akutana na Msanii Diamond Platnumz Ik...
- JOKATE: SIJAWAHI KUROGA ILI NIFANIKIWE
- WEWE TIBAIJUKA! JEMBE LISILOLIMA LINA FAIDA GANI?
- DIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI!
- Wema Sepetu Apandishwa Kizimbani
- Mume Ajinyonga Ukweni baada ya Mkewe Kumkataa
- Baada ya Kupotea Kwa Muda Mrefu Agness Masogange A...
- Headmistress Caught Being Banged By Her Watchman I...
- Wema Ampongeza Jokate Lakini Asisitiza Kuendelea K...
- Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 22 Disemba 2014
- Mke wa Mtu Anaswa Akijiuza Kusaka Pesa za Christmass
- Diamond: Aliyenifundisha Kuongea Kiingereza ni Pen...
- CHADEMA Watoa Tahadhari kwa Rais kuhusu Kuwatetea ...
- MTOTO WA JACKIE CHAN ASHITAKIWA KWA DAWA ZA KULEVYA
- MWENYEKITI WA PROIN, JOHNSON LUKAZA NA MDOGO WAKE ...
-
▼
December
(168)
0 comments:
Post a Comment