Tuesday, December 30, 2014

On 12:17 AM by Unknown in    No comments





Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Mzambia, Patrick Phiri.




Aliyekuwa Kocha msaidizi, Selemani Matola (kushoto) akifuatilia mazoezi.

Klabu ya Simba imewafukuza kazi Kocha Patrick Phiri raia wa Zambia na msaidizi wake Selemani Matola kutokana na matokeo mabaya ya timu

0 comments:

Post a Comment