Saturday, December 27, 2014
On 9:34 AM by Unknown No comments

WAKATI nchi ikikaribia kuingia katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka Watanzania kuwa waangalifu katika kuchagua viongozi wenye sifa na uwezo wa kulifikisha mbali taifa la Tanzania.
Aidha, ametaja sifa 13 za kiongozi anayefaa kuiongoza Tanzania huku akionya kuwa katika nchi nyingi viongozi wasiofaa, huwa chanzo cha kuvunjika kwa amani na utulivu na kusisitiza umuhimu wa kuwaweka madarakani viongozi bora.
Pia ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), vyombo vingine vinavyosimamia uchaguzi na vyama vya siasa, kutenda haki, akisema ikitendeka pasipo kutia shaka, uchaguzi utakuwa wa amani na utulivu wa nchi utaendelea kudumu.
Sumaye aliyekuwa Waziri Mkuu kwa miaka 10 katika utawala wa Rais Benjamin Mkapa, alisema hayo jijini Mbeya jana, ambako alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Tamasha la Krismasi lililobeba dhima ya kuombea amani ya nchi.
Alitaja baadhi ya sifa za kiongozi ajaye kuwa ni pamoja na kuwa na uzalendo kwa nchi na wananchi wake, mwenye upeo, mwenye kuweka madarakani serikali inayowajibika, mwenye kupambana na umasikini, anayeweza kukabili tatizo la ajira, anayeweza kuboresha huduma za jamii na pia mwenye uthubutu wa kupambana na rushwa.
Nyingine ni kukabili ufisadi, tatizo la dawa za kulevya, mwenye mikakati ya kukuza uchumi wa nchi, anayeweza kusimamia mapato na matumizi ya fedha za umma. Akizungumzia uzalendo, alisema: “Uzalendo una tafsiri pana.
Mzalendo wa kweli ni mkweli kwa nchi yake, ni mpenzi wa nchi yake na watu wake, husimamia haki na hujali maslahi ya umma badala ya maslahi yake binafsi.
Watanzania tunahitaji kupata kiongozi mzalendo wa kweli ambaye atajali maslahi ya umma kwanza kabla ya kitu chochote. “Kiongozi mzalendo atajali hali nchi yake kwa leo na baadaye na atapenda kuilea na kuitunza Tanzania ili iweze kulea vizazi vinavyokuja baadaye kwa kujali mabadiliko ya tabianchi na kuzuia au kupunguza madhara yanayotokana na mabadiliko hayo.
Kiongozi mzalendo atajenga heshima ya nchi ili Tanzania iwe na sifa mbele ya uso wa dunia. “Kiongozi mzalendo atapenda kuwainua Watanzania wote kwa kadri inavyowezekana ili wawe na maisha bora badala ya kulenga kundi dogo ambalo labda yeye ana maslahi nalo.
Watanzania mwakani tunayo nafasi ya kumweka kiongozi wa aina hiyo na tunayo nafasi ya kuwaweka viongozi katika ngazi zingine, ambao nao watakuwa na sifa hizo,” alisema. Aliongeza kuwa baadhi ya watu hujithamini wao kwanza na kwamba hilo limekuwa likiwakumba viongozi wengi.
”Watu huangalia zaidi kujitajirisha hata kama ni kwa gharama kubwa kwa nchi na taifa la baadaye. Hili ni jambo la hatari sana kwa amani ya nchi, likiachiwa kuota mizizi, hivyo ni vyema kiongozi tutakayemtafuta mwakani awe mzalendo wa dhati adhibiti hali hiyo,” alisema.
Mwenye upeo Alisema nchi inahitaji kiongozi mwenye kuielewa nchi yake vizuri, kuwaelewa Watanzania vyema na kuyaelewa matatizo ya Watanzania kwa dhati na matatizo hayo yawe yanagusa moyoni mwake.
“Kiongozi huyo lazima aelewe Watanzania wanataka nini, yeye anataka kutupeleka wapi na anatufikishaje huko. Asiwe kiongozi wa kutuburuza anavyotaka yeye au kiongozi asiyejali yanayotupata ambayo yana maumivu kwetu.
Tunataka kiongozi anayeelewa mipango ya taifa na kuifuata kama ilivyopangwa siyo kubuni mipango mipya kila kukicha wakati mipango ya awali haijatekelezwa,” alisema.
Kuhusu utawala wa sheria, alisema nchi nyingi zimetumbukia katika machafuko kwa sababu viongozi wao wakati mwingine huweka katiba na sheria kando na kutawala kwa imla kadri wanavyoona inafaa, hivyo kwa Tanzania, utaratibu unaomweka madarakani kiongozi ni vyema kiongozi huyo akauheshimu na kuutii.
“Tunahitaji kupata kiongozi ambaye ataheshimu Katiba ya nchi na sheria mbalimbali zinazowekwa mara kwa mara kwa maslahi ya umma. Aidha, kiongozi lazima awe tayari kuilinda na kuikuza demokrasia ya vyama vingi, ambayo imeanzishwa kwa maslahi ya wananchi.
“Ili aina hii ya utawala uwasaidie wananchi ni lazima vyama vya upinzani navyo viwe na nguvu ya kuwa changamoto kwa chama tawala na hiyo ndiyo maana na faida ya demokrasia ya vyama vingi,” alisema.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Search
Translate
Popular Posts
-
Leo wanawake wenzangu kwenye safu yetu hii pendwa nimewaletea mada moja nzito ambayo ukiiendekeza unavunja nyumba yako hivihivi unajiona.H...
-
Utandawazi utawaabisha wengi kwani hizi simu zetu ukizubaa kidogo mtu anakupiga picha hata kama hujadhamiria kufanya hivi.
-
Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela AIBU ilioje! Denti wa chuo kimoja jijini Dar, anayefahamika kwa jina moja la Martha, amepiga...
-
Hebu niambie...umeshawahi kujichua? Mara ngapi? Bado unaendelea na mchezo huo? Vipi, umewahi kusikia watu wakizungumza kuhusu suala hilo? ...
-
Wanachuo wazidi kuwa mfano mbaya licha kuonekana wasomi na ndio tegemeo kwa taifa la kesho lakini cha ajabu wanazidi kufanya madudu badal...
-
MDADA MWENYEWE NI HUYU. DENT mmoja katika Chuo Kikuu kimojawapo hapa nchini amepiga picha zisizo na maadili akiwa na njemba wake katika ...
-
Kweli dunia inamambo watu kadhaa wamekamatwa na kamera zetu wkingonoka bila uoga wowote tena hadharani hebu ona picha hapa
-
Hivi Majuzi mke wa Mchungaji mmoja amekamatwa laivu akingonoka vichakani umbali kidogo kutoka katika nyumbani kwake Mke wa Mchungaji a...
-
Polisi mkoani Tanga wamesema wataendesha msako wa kuwakamata watu wanaofanya biashara ya ngono katika nyumba za starehe na mitaa maarufu ...
Blog Archive
-
▼
2014
(168)
-
▼
December
(168)
- BAADA YA KIMYA CHA MUDA MREFU MREMBO RAYUU AIBUKA ...
- Polisi Yatangaza Msako kwa Wanawake Wanaofanya Bia...
- Nimeamua Kutoka Kimapenzi na Binti wa Kazi ( Hausi...
- Samantha Apokelewa Kwa Mikono Miwili na Familia ya...
- PHOTO’S: HIVI NDIVYO ALIVYOPOKELEWA DIAMOND NA KUN...
- SIMBA YAFUKUZA MAKOCHA
- DIAMOND PLATNUMZ ATUA RWANDA KWA SHANGWE
- WAIMBA INJILI WANA NINI?
- MWANAMKE ADAIWA KUTEKA WATOTO
- BASTOLA TISHIO DAR!
- VANESSA AWATOA KIMASOMASO WASANII WA KIKE
- Bilionea wa Nigeria ampiku Oprah na kuwa mwanamke ...
- Mvua Yaua Jijini Dar.....Mtoto Asombwa na Maji aki...
- Binti Ajizalisha na kutumbukiza mtoto kwenye ndoo
- Mgombea urais atabiriwa kifo.....Yadaiwa Atafariki...
- Washitakiwa mauaji ya Dk Mvungi wazua kizaazaa mah...
- Hili ni Fundisho Kwa Wanaume Wanaopenda Kutongoza ...
- MAKAVU LIVE!!!:: UTAMU WA MUA UKIKUTANA NA KIFUNDO...
- Wajua Jinsi ya Kumdhibiti Mpenzi Anayepiga Mizinga?
- PICHA ZA UTAMU ZA DENTI WA CHUO KIKUU CHA UDOM ZAN...
- Bi dada... Utafanya nini? Mmeo Anatembea na binti ...
- Waziri Nyalandu atangaza nia ya kuwa Rais wa Tanzania
- Kashfa ya Escrow ndo sababu kuu ya Anguko la CCM-W...
- Tibaijuka: Nitagombea Ubunge Mwakani licha ya Saka...
- Mwenyekiti wa CHADEMA Atimuliwa nchini kwa madai k...
- UCHAWI:BIBI KIZEE AKUTWA KAANGUKA NJE YA KANISA AS...
- TAZAMA JINSI SIKUKUU YA KRISMAS INAVYOENDELEA KATI...
- BAADA YA KIMYA KIREFU MSANII 'Q CHIEF' SASA KUACHA...
- LAANA YA SIKU : :VIJANA WAFANYA USHENZI KUPITILIZA
- LAANA..!!! BOFYA UONEE VIZURII DADA HUYU ALIVYOAMU...
- PICHA ZA UCHI ZA MSANII MAARUFU WA KIKE AKILIWA TI...
- ZAIDI YA LAANA: HUU NDIOUCHAFU ULIOFANYIKA JANA KW...
- RAIS OBAMA AITWA TUMBILI NA KOREA KASKAZINI!
- DAVINA:STEVE NYERERE NI MTU POA ILA ANA VIMATATIZO...
- DIAMOND PLATNUMZ HANA UWEZO WA KUMPA MWANAMKE UJAU...
- KAKA NA DADA WANASWA LAIVU WAKIFANYA MAPENZI,WAFAN...
- MAJANGA !!! MKE WA MTU AWEKA PICHA CHAFU KATIKA UK...
- WASTARA KUMUANIKA MRITHI WA SAJUKI
- Hizi Ndizo Sifa Za Mtu Anayefaa Kuwa Rais Ajaye ,W...
- Dunia Imeisha Tizama Picha Za Hawa Wadada Walizopo...
- DAVIDO ALA DENDA NA SHABIKI AKIWA STEJINI!!!
- DUNIA IMEKWISHA CHEKI PICHA YA MCHUMBA WA MTU AKIN...
- AFARIKI DUNIA BAAADA YA KULIPULIWA NA BOMU ALILOTA...
- HILI NI FUNDISHO KWA WAKE ZA MARAISI AFRIKA!!!HUYU...
- LIPUMBA NA ZITTO KABWE WAPANGA KUWASHA MOTO WA ESC...
- HIVI NDIVYO TIBAIJUKA ALIVYOTEMA CHECHE HUKO JIMBO...
- HIVI UNAFAHAMU KUWA LIPUMBA ALISHAWAHI KUWA MSAIDI...
- BUBU Afanyiwa Unyama wa Kutisha......Wanaume Watan...
- Hausiboi Aliyelawiti Mtoto wa Miaka 6 Ahukumiwa Ki...
- BAKWATA Yasisitiza kuwa Maamuzi ya Rais Kikwete ku...
- Matokeo Mabaya ya CCM Singida: Nyalandu Abebeshwa ...
- HII NI NOMA..!! JIONEE PICHA 15 ZA HUYU MZUNGU ALI...
- JINSI YA KUJIZUIA USIKOJOE MAPEMA NA HIVYO KUSHIND...
- Krismasi ni Escrow kila kona
- Vijana Watatu Wakamatwa Wakijaribu Kuiba Sanamu ya...
- Rais Kikwete atakiwa kuwachukulia hatua Mawaziri W...
- CCM yaongoza matokeo ya jumla serikali za mitaa
- Ukawa Mkilifanya Hili, 2015 Mnashinda kwa Zaidi ya...
- Ray C: Nina uhakika Alikiba Akipata Support ya Dia...
- Panapo Fuka Moshi Kuna Moto..Habari za Millard Ayo...
- Bifu la Davido na Wizkid Limeisha, La Ally Kiba na...
- Sserunkuma atupia mbili, aonyesha cheche Zenji
- SAFARI YA MABALOZI KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KATIK...
- VODACOM TANZANIA ILIVYOWARUSHA WATEJA WAKE KILA KO...
- Waziri Muhongo aanza Ziara ya Siku 6 Mkoani Mara k...
- MADAWA YA KULEVYA HATARI ZAIDI KWA WASANII
- KUNDI LILILOPATA PIGO ZAIDI 2012-14
- SHOO YA DIAMOND DAR LIVE YAACHA HISTORIA
- R.I.P WASANII WETU! KINACHOWAUA KWA KASI CHAJULIKANA
- FAIZA: MIMI SIYO MBULULA KWA KUVAA PEMPASI
- BALAA LA KRISMASIMREMBO APOTEZA FAHAMU
- DUH!! JE WAJUA KILICHOMPATA MENEJA WA CLOUDS JUU Y...
- AIBU YA MWAKA!!!!!! TAZAMA ALICHOFANYIWA DADA HUYU...
- PICHA ZA WATU WAZIMA WAKINGONOKA HADHARANI HII NI ...
- TAMASHA LA TUONANE JANUARY (TUO8 JANUARY) LAFANA M...
- JINSI YA KUMTOA MWANAMKE BIKRA BILA MAUMIVU ........
- Diamond Aeleza Demu Aliemtungia Wimbo Wake Mpya Wa...
- Ona Mama Diamond Jinsi Anavoonekana Kuwa Chanzo Ch...
- FUMANIZI!!! PATA KUONA ALICHOFANYIWA DADA HUYU BAA...
- MJUE MKE MTARAJIWA WA MASANJA MKANDAMIZAJI!, IONE ...
- WANACHUO WANAOPIGA PICHA ZA UTUPU WAZIDI KUONGEZEK...
- Baadhi ya Picha za Wema na Van Vicker Wakiwa Katik...
- Nimeamini, Mabinti wa Kichaga Hawajui Mapenzi Hata...
- Wavulana Ma-handsome Hawana Lolote Kitandani..Kazi...
- Yamenikuta: Mchumba wangu amezaa angali bikra
- Rais Kikwete Akutana na Msanii Diamond Platnumz Ik...
- JOKATE: SIJAWAHI KUROGA ILI NIFANIKIWE
- WEWE TIBAIJUKA! JEMBE LISILOLIMA LINA FAIDA GANI?
- DIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI!
- Wema Sepetu Apandishwa Kizimbani
- Mume Ajinyonga Ukweni baada ya Mkewe Kumkataa
- Baada ya Kupotea Kwa Muda Mrefu Agness Masogange A...
- Headmistress Caught Being Banged By Her Watchman I...
- Wema Ampongeza Jokate Lakini Asisitiza Kuendelea K...
- Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 22 Disemba 2014
- Mke wa Mtu Anaswa Akijiuza Kusaka Pesa za Christmass
- Diamond: Aliyenifundisha Kuongea Kiingereza ni Pen...
- CHADEMA Watoa Tahadhari kwa Rais kuhusu Kuwatetea ...
- MTOTO WA JACKIE CHAN ASHITAKIWA KWA DAWA ZA KULEVYA
- MWENYEKITI WA PROIN, JOHNSON LUKAZA NA MDOGO WAKE ...
-
▼
December
(168)
0 comments:
Post a Comment