Friday, December 26, 2014
On 12:31 PM by Unknown No comments

Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na serikali za mitaa
(TAMISEMI) imetangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi wa serikali za mitaa
uliofanyika Desemba 14 na 21 mwaka huu huku Chama Cha Mapinduzi kikiwa
hakijafanya vizuri katika matokeo hayo.
Akizungumza juzi na waandishi wa habari wakati wa kutangaza
matokeo hayo, Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa
na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Kharist Luanda, alisema kwa mwaka huu ushiriki
wa vyama vya siasa umekuwa mkubwa kutokana na vyama 15 kushiriki.
Amesema katika vyama 15 vilishiriki jumla ya vyama 11 vimepata wawakilishi na vingine 4 vikikosa kiti hata kimoja.
Aidha, Luanda alisema kuwa mwaka huu kulikuwapo na hamasa kwa wananchi katika uchaguzi huo ikilinganishwa na miaka iliyopita ambayo ulikuwa ukifanyika kienyeji na bila mvuto.
Luanda alisema licha ya vyama vya upinzani kupata viti vingi vya mitaa, vitongozi na vijiji ambavyo miaka iliyopita vilikuwa vinashikiliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), Chama hicho tawala, kimeongoza.
Alisema katika nafasi ya wenyeviti wa vijiji, CCM kimepata 9,378 (asilimia 79.81) wakati kwa vitongoji 48,447 (asilimia 79.83) na kwa mitaa 2,583 (asilimia 66.66.).
Kwa upande wa wajumbe serikali za vijiji na mitaa, CCM kimepata 100,436 (asilimia 80.24) na wajumbe wa viti maalum 66,147 (asilimia 82.13).
Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi vimefuatia kwa kuzoa viti vingi ambavyo vilikuwa vinashikiliwa na CCM hadi baada ya uchaguzi wa mwaka 2009.
Chadema kimeshika nafasi ya pili kwa kupata wenyeviti wa vijiji 1,754 (asilimia 14.93), vitongoji 9,145 (asilimia 15.07) huku kikipata mitaa 980 (asilimia 25.29).
Katika nafasi za wajumbe serikali za vijiji na mitaa kimepata 18,527 (asilimia 14.80) na wajumbe viti maalum 10,471 (asilimia 13).
Kilichofuatia ni CUF ambacho kwa nafasi ya wenyeviti wa vijiji kimepata viti 516 (asilimia 4.39), wenyeviti wa vitongoji 2,561 (asilimia 4.22) na wenyeviti wa mitaa 266 (asilimia 6.86).
Katika nafasi ya wajumbe serikali za vijiji na mitaa kimepata 5,395 (asilimia 4.31) na viti maalum kimepata wajumbe 2,676 (asilimia 3.32).
NCCR-Mageuzi katika nafasi ya wenyeviti wa vijiji kimepata 67 (asilimia 0.57), wenyeviti wa vitongoji 339 (asilimia 0.56) na wenyeviti wa mitaa 28 (asilimia 0.72).Chama hicho kwa wajumbe serikali za vijiji na mitaa kimepata 598 (asilimia 0.48) na viti maalum 455 (asilimia 0.56).
Aidha, Luanda alivitaja vyama vingine kuwa ni TLP ambacho kwa wenyeviti wa vijiji kimepata viti 10 (asilimia 0.09), NLD wawili (asilimia 0.02), ACT wanane (asilimia 0.07), UDP 14 (asilimia 0.12), NRA mmoja (asilimia 0.01) na kwamba vyama vilivyobaki havikupata uwakilishi.
Kwa upande wa wenyeviti wa vitongoji TLP kimepata 55 (asilimia 0.09), NLD wawili (asilimia 0.00), ACT 72 (asilimia 0.12), UDP 54 (asilimia 0.09), APPT Maendeleo watatu (asilimia 0.00), NRA watatu (asilimia 0.00) na vyama vingine havikupata uwakilishi.
Luanda alisema kwa wenyeviti wa mitaa TLP kimepata mmoja (asilimia 0.03), ACT 12 (asilimia 0.31), UDP watatu (asilimia 0.08), NRA mmoja na UMD mmoja (asilimia 0.03).
Katika nafasi ya wajumbe serikali za vijiji TLP kimepata 62 (asilimia 0.05), NLD watatu (asilimia 0.00), ACT 106 (asilimia 0.08), APPT Maendeleo mmoja, Chaumma mmoja na NRA wanne (asilimia 0.00).
Mkurugenzi huyo alisema kwa upande wa wajumbe wa viti maalum, TLP 63 (asilimia 0.08), NLD mmoja (asilimia 0.00), ACT 57 (asilimia 0.07), UDP 43 (asilimia 0.05), APPT Maendeleo mmoja na Chaumma mmoja (asilimia 0.0).
Hata hivyo, Luanda alisema matokeo hayo ni sawa na asilimia 99 ya maeneo yaliyofanya uchaguzi na kwamba bado kuna maeneo ambayo hayajafanya uchaguzi kutokana na changamoto mbalimbali ikiwamo mapingamizi, karatasi kuchomwa moto, vifo na kuongeza kuwa hayawezi kubadilisha asilimia za kichama zilizopatikana kwa sasa.
Mkurugenzi huyo alisema kwa upande wa wajumbe wa viti maalum, TLP 63 (asilimia 0.08), NLD mmoja (asilimia 0.00), ACT 57 (asilimia 0.07), UDP 43 (asilimia 0.05), APPT Maendeleo mmoja na Chaumma mmoja (asilimia 0.0).
Hata hivyo, Luanda alisema matokeo hayo ni sawa na asilimia 99 ya maeneo yaliyofanya uchaguzi na kwamba bado kuna maeneo ambayo hayajafanya uchaguzi kutokana na changamoto mbalimbali ikiwamo mapingamizi, karatasi kuchomwa moto, vifo na kuongeza kuwa hayawezi kubadilisha asilimia za kichama zilizopatikana kwa sasa.
Wiki iliyopita, CCM kupitia kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, baada ya kutangazwa matokeo ya kwanza kabla yaw a marudio, alikiri kwamba ushindi wa chama hicho umepungua kwa asilimia 12 kutoka asilimia 96 za mwaka2009 hadi asilimia 84 zamwaka huu.
Nnauye alisema kuwa ingawa wapinzani wameshinda kwa asilimia 16, lakini ushindi huo siyo kigezo cha kufanya vizuri katika uchaguzi mkuu wa mwakani.
Amesema katika vyama 15 vilishiriki jumla ya vyama 11 vimepata wawakilishi na vingine 4 vikikosa kiti hata kimoja.
Aidha, Luanda alisema kuwa mwaka huu kulikuwapo na hamasa kwa wananchi katika uchaguzi huo ikilinganishwa na miaka iliyopita ambayo ulikuwa ukifanyika kienyeji na bila mvuto.
Luanda alisema licha ya vyama vya upinzani kupata viti vingi vya mitaa, vitongozi na vijiji ambavyo miaka iliyopita vilikuwa vinashikiliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), Chama hicho tawala, kimeongoza.
Alisema katika nafasi ya wenyeviti wa vijiji, CCM kimepata 9,378 (asilimia 79.81) wakati kwa vitongoji 48,447 (asilimia 79.83) na kwa mitaa 2,583 (asilimia 66.66.).
Kwa upande wa wajumbe serikali za vijiji na mitaa, CCM kimepata 100,436 (asilimia 80.24) na wajumbe wa viti maalum 66,147 (asilimia 82.13).
Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi vimefuatia kwa kuzoa viti vingi ambavyo vilikuwa vinashikiliwa na CCM hadi baada ya uchaguzi wa mwaka 2009.
Chadema kimeshika nafasi ya pili kwa kupata wenyeviti wa vijiji 1,754 (asilimia 14.93), vitongoji 9,145 (asilimia 15.07) huku kikipata mitaa 980 (asilimia 25.29).
Katika nafasi za wajumbe serikali za vijiji na mitaa kimepata 18,527 (asilimia 14.80) na wajumbe viti maalum 10,471 (asilimia 13).
Kilichofuatia ni CUF ambacho kwa nafasi ya wenyeviti wa vijiji kimepata viti 516 (asilimia 4.39), wenyeviti wa vitongoji 2,561 (asilimia 4.22) na wenyeviti wa mitaa 266 (asilimia 6.86).
Katika nafasi ya wajumbe serikali za vijiji na mitaa kimepata 5,395 (asilimia 4.31) na viti maalum kimepata wajumbe 2,676 (asilimia 3.32).
NCCR-Mageuzi katika nafasi ya wenyeviti wa vijiji kimepata 67 (asilimia 0.57), wenyeviti wa vitongoji 339 (asilimia 0.56) na wenyeviti wa mitaa 28 (asilimia 0.72).Chama hicho kwa wajumbe serikali za vijiji na mitaa kimepata 598 (asilimia 0.48) na viti maalum 455 (asilimia 0.56).
Aidha, Luanda alivitaja vyama vingine kuwa ni TLP ambacho kwa wenyeviti wa vijiji kimepata viti 10 (asilimia 0.09), NLD wawili (asilimia 0.02), ACT wanane (asilimia 0.07), UDP 14 (asilimia 0.12), NRA mmoja (asilimia 0.01) na kwamba vyama vilivyobaki havikupata uwakilishi.
Kwa upande wa wenyeviti wa vitongoji TLP kimepata 55 (asilimia 0.09), NLD wawili (asilimia 0.00), ACT 72 (asilimia 0.12), UDP 54 (asilimia 0.09), APPT Maendeleo watatu (asilimia 0.00), NRA watatu (asilimia 0.00) na vyama vingine havikupata uwakilishi.
Luanda alisema kwa wenyeviti wa mitaa TLP kimepata mmoja (asilimia 0.03), ACT 12 (asilimia 0.31), UDP watatu (asilimia 0.08), NRA mmoja na UMD mmoja (asilimia 0.03).
Katika nafasi ya wajumbe serikali za vijiji TLP kimepata 62 (asilimia 0.05), NLD watatu (asilimia 0.00), ACT 106 (asilimia 0.08), APPT Maendeleo mmoja, Chaumma mmoja na NRA wanne (asilimia 0.00).
Mkurugenzi huyo alisema kwa upande wa wajumbe wa viti maalum, TLP 63 (asilimia 0.08), NLD mmoja (asilimia 0.00), ACT 57 (asilimia 0.07), UDP 43 (asilimia 0.05), APPT Maendeleo mmoja na Chaumma mmoja (asilimia 0.0).
Hata hivyo, Luanda alisema matokeo hayo ni sawa na asilimia 99 ya maeneo yaliyofanya uchaguzi na kwamba bado kuna maeneo ambayo hayajafanya uchaguzi kutokana na changamoto mbalimbali ikiwamo mapingamizi, karatasi kuchomwa moto, vifo na kuongeza kuwa hayawezi kubadilisha asilimia za kichama zilizopatikana kwa sasa.
Mkurugenzi huyo alisema kwa upande wa wajumbe wa viti maalum, TLP 63 (asilimia 0.08), NLD mmoja (asilimia 0.00), ACT 57 (asilimia 0.07), UDP 43 (asilimia 0.05), APPT Maendeleo mmoja na Chaumma mmoja (asilimia 0.0).
Hata hivyo, Luanda alisema matokeo hayo ni sawa na asilimia 99 ya maeneo yaliyofanya uchaguzi na kwamba bado kuna maeneo ambayo hayajafanya uchaguzi kutokana na changamoto mbalimbali ikiwamo mapingamizi, karatasi kuchomwa moto, vifo na kuongeza kuwa hayawezi kubadilisha asilimia za kichama zilizopatikana kwa sasa.
Wiki iliyopita, CCM kupitia kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, baada ya kutangazwa matokeo ya kwanza kabla yaw a marudio, alikiri kwamba ushindi wa chama hicho umepungua kwa asilimia 12 kutoka asilimia 96 za mwaka2009 hadi asilimia 84 zamwaka huu.
Nnauye alisema kuwa ingawa wapinzani wameshinda kwa asilimia 16, lakini ushindi huo siyo kigezo cha kufanya vizuri katika uchaguzi mkuu wa mwakani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Search
Translate
Popular Posts
-
Leo wanawake wenzangu kwenye safu yetu hii pendwa nimewaletea mada moja nzito ambayo ukiiendekeza unavunja nyumba yako hivihivi unajiona.H...
-
Utandawazi utawaabisha wengi kwani hizi simu zetu ukizubaa kidogo mtu anakupiga picha hata kama hujadhamiria kufanya hivi.
-
Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela AIBU ilioje! Denti wa chuo kimoja jijini Dar, anayefahamika kwa jina moja la Martha, amepiga...
-
Hebu niambie...umeshawahi kujichua? Mara ngapi? Bado unaendelea na mchezo huo? Vipi, umewahi kusikia watu wakizungumza kuhusu suala hilo? ...
-
Wanachuo wazidi kuwa mfano mbaya licha kuonekana wasomi na ndio tegemeo kwa taifa la kesho lakini cha ajabu wanazidi kufanya madudu badal...
-
MDADA MWENYEWE NI HUYU. DENT mmoja katika Chuo Kikuu kimojawapo hapa nchini amepiga picha zisizo na maadili akiwa na njemba wake katika ...
-
Kweli dunia inamambo watu kadhaa wamekamatwa na kamera zetu wkingonoka bila uoga wowote tena hadharani hebu ona picha hapa
-
Hivi Majuzi mke wa Mchungaji mmoja amekamatwa laivu akingonoka vichakani umbali kidogo kutoka katika nyumbani kwake Mke wa Mchungaji a...
-
Polisi mkoani Tanga wamesema wataendesha msako wa kuwakamata watu wanaofanya biashara ya ngono katika nyumba za starehe na mitaa maarufu ...
Blog Archive
-
▼
2014
(168)
-
▼
December
(168)
- BAADA YA KIMYA CHA MUDA MREFU MREMBO RAYUU AIBUKA ...
- Polisi Yatangaza Msako kwa Wanawake Wanaofanya Bia...
- Nimeamua Kutoka Kimapenzi na Binti wa Kazi ( Hausi...
- Samantha Apokelewa Kwa Mikono Miwili na Familia ya...
- PHOTO’S: HIVI NDIVYO ALIVYOPOKELEWA DIAMOND NA KUN...
- SIMBA YAFUKUZA MAKOCHA
- DIAMOND PLATNUMZ ATUA RWANDA KWA SHANGWE
- WAIMBA INJILI WANA NINI?
- MWANAMKE ADAIWA KUTEKA WATOTO
- BASTOLA TISHIO DAR!
- VANESSA AWATOA KIMASOMASO WASANII WA KIKE
- Bilionea wa Nigeria ampiku Oprah na kuwa mwanamke ...
- Mvua Yaua Jijini Dar.....Mtoto Asombwa na Maji aki...
- Binti Ajizalisha na kutumbukiza mtoto kwenye ndoo
- Mgombea urais atabiriwa kifo.....Yadaiwa Atafariki...
- Washitakiwa mauaji ya Dk Mvungi wazua kizaazaa mah...
- Hili ni Fundisho Kwa Wanaume Wanaopenda Kutongoza ...
- MAKAVU LIVE!!!:: UTAMU WA MUA UKIKUTANA NA KIFUNDO...
- Wajua Jinsi ya Kumdhibiti Mpenzi Anayepiga Mizinga?
- PICHA ZA UTAMU ZA DENTI WA CHUO KIKUU CHA UDOM ZAN...
- Bi dada... Utafanya nini? Mmeo Anatembea na binti ...
- Waziri Nyalandu atangaza nia ya kuwa Rais wa Tanzania
- Kashfa ya Escrow ndo sababu kuu ya Anguko la CCM-W...
- Tibaijuka: Nitagombea Ubunge Mwakani licha ya Saka...
- Mwenyekiti wa CHADEMA Atimuliwa nchini kwa madai k...
- UCHAWI:BIBI KIZEE AKUTWA KAANGUKA NJE YA KANISA AS...
- TAZAMA JINSI SIKUKUU YA KRISMAS INAVYOENDELEA KATI...
- BAADA YA KIMYA KIREFU MSANII 'Q CHIEF' SASA KUACHA...
- LAANA YA SIKU : :VIJANA WAFANYA USHENZI KUPITILIZA
- LAANA..!!! BOFYA UONEE VIZURII DADA HUYU ALIVYOAMU...
- PICHA ZA UCHI ZA MSANII MAARUFU WA KIKE AKILIWA TI...
- ZAIDI YA LAANA: HUU NDIOUCHAFU ULIOFANYIKA JANA KW...
- RAIS OBAMA AITWA TUMBILI NA KOREA KASKAZINI!
- DAVINA:STEVE NYERERE NI MTU POA ILA ANA VIMATATIZO...
- DIAMOND PLATNUMZ HANA UWEZO WA KUMPA MWANAMKE UJAU...
- KAKA NA DADA WANASWA LAIVU WAKIFANYA MAPENZI,WAFAN...
- MAJANGA !!! MKE WA MTU AWEKA PICHA CHAFU KATIKA UK...
- WASTARA KUMUANIKA MRITHI WA SAJUKI
- Hizi Ndizo Sifa Za Mtu Anayefaa Kuwa Rais Ajaye ,W...
- Dunia Imeisha Tizama Picha Za Hawa Wadada Walizopo...
- DAVIDO ALA DENDA NA SHABIKI AKIWA STEJINI!!!
- DUNIA IMEKWISHA CHEKI PICHA YA MCHUMBA WA MTU AKIN...
- AFARIKI DUNIA BAAADA YA KULIPULIWA NA BOMU ALILOTA...
- HILI NI FUNDISHO KWA WAKE ZA MARAISI AFRIKA!!!HUYU...
- LIPUMBA NA ZITTO KABWE WAPANGA KUWASHA MOTO WA ESC...
- HIVI NDIVYO TIBAIJUKA ALIVYOTEMA CHECHE HUKO JIMBO...
- HIVI UNAFAHAMU KUWA LIPUMBA ALISHAWAHI KUWA MSAIDI...
- BUBU Afanyiwa Unyama wa Kutisha......Wanaume Watan...
- Hausiboi Aliyelawiti Mtoto wa Miaka 6 Ahukumiwa Ki...
- BAKWATA Yasisitiza kuwa Maamuzi ya Rais Kikwete ku...
- Matokeo Mabaya ya CCM Singida: Nyalandu Abebeshwa ...
- HII NI NOMA..!! JIONEE PICHA 15 ZA HUYU MZUNGU ALI...
- JINSI YA KUJIZUIA USIKOJOE MAPEMA NA HIVYO KUSHIND...
- Krismasi ni Escrow kila kona
- Vijana Watatu Wakamatwa Wakijaribu Kuiba Sanamu ya...
- Rais Kikwete atakiwa kuwachukulia hatua Mawaziri W...
- CCM yaongoza matokeo ya jumla serikali za mitaa
- Ukawa Mkilifanya Hili, 2015 Mnashinda kwa Zaidi ya...
- Ray C: Nina uhakika Alikiba Akipata Support ya Dia...
- Panapo Fuka Moshi Kuna Moto..Habari za Millard Ayo...
- Bifu la Davido na Wizkid Limeisha, La Ally Kiba na...
- Sserunkuma atupia mbili, aonyesha cheche Zenji
- SAFARI YA MABALOZI KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KATIK...
- VODACOM TANZANIA ILIVYOWARUSHA WATEJA WAKE KILA KO...
- Waziri Muhongo aanza Ziara ya Siku 6 Mkoani Mara k...
- MADAWA YA KULEVYA HATARI ZAIDI KWA WASANII
- KUNDI LILILOPATA PIGO ZAIDI 2012-14
- SHOO YA DIAMOND DAR LIVE YAACHA HISTORIA
- R.I.P WASANII WETU! KINACHOWAUA KWA KASI CHAJULIKANA
- FAIZA: MIMI SIYO MBULULA KWA KUVAA PEMPASI
- BALAA LA KRISMASIMREMBO APOTEZA FAHAMU
- DUH!! JE WAJUA KILICHOMPATA MENEJA WA CLOUDS JUU Y...
- AIBU YA MWAKA!!!!!! TAZAMA ALICHOFANYIWA DADA HUYU...
- PICHA ZA WATU WAZIMA WAKINGONOKA HADHARANI HII NI ...
- TAMASHA LA TUONANE JANUARY (TUO8 JANUARY) LAFANA M...
- JINSI YA KUMTOA MWANAMKE BIKRA BILA MAUMIVU ........
- Diamond Aeleza Demu Aliemtungia Wimbo Wake Mpya Wa...
- Ona Mama Diamond Jinsi Anavoonekana Kuwa Chanzo Ch...
- FUMANIZI!!! PATA KUONA ALICHOFANYIWA DADA HUYU BAA...
- MJUE MKE MTARAJIWA WA MASANJA MKANDAMIZAJI!, IONE ...
- WANACHUO WANAOPIGA PICHA ZA UTUPU WAZIDI KUONGEZEK...
- Baadhi ya Picha za Wema na Van Vicker Wakiwa Katik...
- Nimeamini, Mabinti wa Kichaga Hawajui Mapenzi Hata...
- Wavulana Ma-handsome Hawana Lolote Kitandani..Kazi...
- Yamenikuta: Mchumba wangu amezaa angali bikra
- Rais Kikwete Akutana na Msanii Diamond Platnumz Ik...
- JOKATE: SIJAWAHI KUROGA ILI NIFANIKIWE
- WEWE TIBAIJUKA! JEMBE LISILOLIMA LINA FAIDA GANI?
- DIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI!
- Wema Sepetu Apandishwa Kizimbani
- Mume Ajinyonga Ukweni baada ya Mkewe Kumkataa
- Baada ya Kupotea Kwa Muda Mrefu Agness Masogange A...
- Headmistress Caught Being Banged By Her Watchman I...
- Wema Ampongeza Jokate Lakini Asisitiza Kuendelea K...
- Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 22 Disemba 2014
- Mke wa Mtu Anaswa Akijiuza Kusaka Pesa za Christmass
- Diamond: Aliyenifundisha Kuongea Kiingereza ni Pen...
- CHADEMA Watoa Tahadhari kwa Rais kuhusu Kuwatetea ...
- MTOTO WA JACKIE CHAN ASHITAKIWA KWA DAWA ZA KULEVYA
- MWENYEKITI WA PROIN, JOHNSON LUKAZA NA MDOGO WAKE ...
-
▼
December
(168)
0 comments:
Post a Comment