Thursday, December 25, 2014
On 10:38 PM by Unknown No comments
MWAKA 2014 unatarajiwa kufikia mwisho wake Jumatano ijayo saa sita kamili usiku. Ni mwisho wa siku 365 ambazo Watanzania, kama walivyo watu wengine kote duniani, watakuwa wakiutumia pia kuomboleza vifo vya wasanii wao wa fani mbalimbali, hasa muziki na filamu, ambao walifariki kwa karibu miaka mitatu iliyopita.
Tunapozungumzia kifo, wote tunajua kuwa ni fumbo ambalo daima ni Mungu pekee ndiye mwenye uwezo wa kulifumbua. Kila nafsi iliyo hai itaonja mauti, ingawa kinachotofautisha kati yangu na yako, ni kwamba hakuna ajuaye siku wala saa.
Mtu mwenye afya kamili kabisa anaweza kudondoka sasa hivi na kuwa marehemu, wakati mwingine aliyekata kauli zaidi ya miaka mitatu iliyopita akiwa bado anapumua kitandani. Hapa ndipo tunapokutana na umwamba wa Mungu Mwenyezi, Muumba wa Mbingu na Ardhi.
Hata hivyo, pamoja na uwezo wa Mungu katika kuamua kuhusu uhai wetu, bado sisi wenyewe kama binadamu, tunao uwezo wa kutengeneza mazingira ya kulazimisha kukatishwa kwa maisha yetu, kutokana na staili ya maisha tuliyoamua kuifuata.
Hata hivyo, pamoja na uwezo wa Mungu katika kuamua kuhusu uhai wetu, bado sisi wenyewe kama binadamu, tunao uwezo wa kutengeneza mazingira ya kulazimisha kukatishwa kwa maisha yetu, kutokana na staili ya maisha tuliyoamua kuifuata.
Baadhi tumeamua kuwa walevi wa kupindukia. Ni dhahiri, ukiwa mlevi wa namna hii, kifo chako kinakuwa jirani zaidi kwa sababu katika akili za kilevi, huna uwezo wa kuchukua tahadhari wakati wa kuvuka barabara, huna uchaguzi wa maneno ya kuongea kiasi cha kumkasirisha mwenzako na pia akili ndogo za kutambua kuwa wingi huu wa maji ya mvua katika mto unaweza kukusomba na kufa maji.
Wakati tukimaliza mwaka na kuwaombea Mungu awape mapumziko mema huko walikolala wasanii wetu waliofariki, yapo maneno kwamba baadhi yao walipoteza maisha kutokana na kujihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya, kitu ambacho kimetajwa kuwa ni hatari zaidi kwa wasanii wetu kutokana na aina yao ya maisha.
Ingawa haijathibitishwa, lakini vifo vya wasanii kama Langa Kileo, Albert Mangweha ‘Ngwea’, Aisha Madinda, Geez Mabovu na YP vinahusishwa na utumiaji wa madawa ya kulevya. Ni vigumu, kama nilivyosema mwanzo, kuthibitisha kuwa walifariki kwa sababu hiyo, lakini angalau ushahidi wa mazingira unaonyesha kuwa walikuwa ‘wananusa.’
Na hata hivi tunavyozungumza, ipo orodha ndefu ya wasanii wanaotajwa kujihusisha na matumizi ya madawa ya kulevya, licha ya kila mmoja kwa wakati wake, wanakataa kutumia, ingawa sura za ‘mateja’ hazijifichi.
Historia inaonyesha kuwa mastaa wengi maarufu wa nje waliowahi kuripotiwa kutumia kilevi hiki, ama walifilisika, au walifariki vifo vya ajabu na ghafla. Mkali wa kufokafoka miaka ya 1990, Shabba Ranks alitoweka katika ramani ya muziki baada ya kuendekeza unga, kabla ya mbwiaji mwingine, Britney Huston kufariki baada ya kuzidiwa na dozi.
Hapa nyumbani, wasanii kadhaa wanatajwa kutumia madawa ya kulevya, kitu kinachohatarisha ustawi wao kisanaa na hata kiuchumi. Hakuna ubishi kuwa ‘unga’ umepunguza, kama siyo kusimamisha kabisa kasi ya Ray C kimuziki. Baada ya kukataa mara kadhaa, hatimaye ilithibitika kuwa ni ‘teja’ kiasi cha kumlazimu Rais Kikwete kuingiza nguvu zake kumuokoa.
Nyota wa muziki wa dansi, Ramadhani Masanja ‘Banza Stone’ ni msanii mwingine mwenye uwezo mkubwa kisanaa lakini anaogelea katika umasikini kutokana na kuendekeza matumizi ya unga, kama ilivyo pia kwa Msafiri Said maarufu kama Diouf.
Kama siyo matumizi ya madawa ya kulevya, huenda hivi sasa Rashid Makwiro ‘Chiz Benz’ angekuwa hakamatiki katika Bongo Fleva, lakini unga umemfanya siyo tu kupoteza uwezo wake wa kazi, bali hata muonekano wa mwili wake uliokuwa mkakamavu, hivi sasa anaonekana kama mtu anayeumwa.
Orodha yao ni ndefu, lakini itoshe kuwataja mastaa wanaosikitisha, ambao vipaji vyao vikubwa vinamalizwa na madawa ya kulevya kuwa ni pamoja na Q Chillar, TID, Blu, Greyson Semsekwa na muimba Injili nyota, Rose Muhando.
Orodha yao ni ndefu, lakini itoshe kuwataja mastaa wanaosikitisha, ambao vipaji vyao vikubwa vinamalizwa na madawa ya kulevya kuwa ni pamoja na Q Chillar, TID, Blu, Greyson Semsekwa na muimba Injili nyota, Rose Muhando.
Madawa pia yanamaliza enzi za 20 Percent, Da Hustle, Daz Baba na Lord Eyez.
Licha ya hao, pia idadi ya wasanii wachanga na wenye majina wanaotajwa kujihusisha na ubugiaji huo wa sembe ni kubwa. Inadaiwa pia kuwa mwanzo wa wasanii wetu kutumia unga, unatokana na ukweli kwamba asilimia kubwa kati yao, ni wavutaji wa bangi.
Licha ya hao, pia idadi ya wasanii wachanga na wenye majina wanaotajwa kujihusisha na ubugiaji huo wa sembe ni kubwa. Inadaiwa pia kuwa mwanzo wa wasanii wetu kutumia unga, unatokana na ukweli kwamba asilimia kubwa kati yao, ni wavutaji wa bangi.
Wakati fulani Ray C, akielezea ushuhuda wake wa jinsi alivyoanza kujiingiza katika ulevi huo, alisema awali hakujua kama alikuwa anavuta unga, kwani aliyekuwa mpenzi wake wakati huo, Lord Eyez alikuwa akimchanganyia kwenye bangi bila yeye kujua.
Kama msanii huyu ambaye sura yake iliashiria binti mrembo asiyetarajiwa kuwa na tabia ya uvutaji bangi, aliweza kupuliza, ni wazi kuwa asilimia kubwa ya wasanii hasa wa Bongo Fleva ni wavuta bangi.
Ni vigumu kuwaokoa waliokwisha zama katika shimo hili la uteja, lakini nafasi bado ni kubwa kwa wasanii wakubwa na wanaoheshimika kufanya juhudi za makusudi kutoa elimu kwa wasanii wachanga ili kuwafanya kutambua ubaya wa tabia hii.
Ni vigumu kuwaokoa waliokwisha zama katika shimo hili la uteja, lakini nafasi bado ni kubwa kwa wasanii wakubwa na wanaoheshimika kufanya juhudi za makusudi kutoa elimu kwa wasanii wachanga ili kuwafanya kutambua ubaya wa tabia hii.
Ni wazi kwamba wasanii kama Profesa Jay, Ambwene Yessaya, Mwana FA, Fid Q, Lady Jaydee na wakongwe wengine, wanaweza kuendesha kampeni za kuwaasa vijana kuachana na ulimbukeni huo, kwa sababu angalau wao, wameendelea kubakia katika levo za juu, licha ya kuwa katika gemu kwa muda mrefu huku kashfa kama hizi zikiwapitia kando.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Search
Translate
Popular Posts
-
Leo wanawake wenzangu kwenye safu yetu hii pendwa nimewaletea mada moja nzito ambayo ukiiendekeza unavunja nyumba yako hivihivi unajiona.H...
-
Utandawazi utawaabisha wengi kwani hizi simu zetu ukizubaa kidogo mtu anakupiga picha hata kama hujadhamiria kufanya hivi.
-
Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela AIBU ilioje! Denti wa chuo kimoja jijini Dar, anayefahamika kwa jina moja la Martha, amepiga...
-
Hebu niambie...umeshawahi kujichua? Mara ngapi? Bado unaendelea na mchezo huo? Vipi, umewahi kusikia watu wakizungumza kuhusu suala hilo? ...
-
Wanachuo wazidi kuwa mfano mbaya licha kuonekana wasomi na ndio tegemeo kwa taifa la kesho lakini cha ajabu wanazidi kufanya madudu badal...
-
MDADA MWENYEWE NI HUYU. DENT mmoja katika Chuo Kikuu kimojawapo hapa nchini amepiga picha zisizo na maadili akiwa na njemba wake katika ...
-
Kweli dunia inamambo watu kadhaa wamekamatwa na kamera zetu wkingonoka bila uoga wowote tena hadharani hebu ona picha hapa
-
Hivi Majuzi mke wa Mchungaji mmoja amekamatwa laivu akingonoka vichakani umbali kidogo kutoka katika nyumbani kwake Mke wa Mchungaji a...
-
Polisi mkoani Tanga wamesema wataendesha msako wa kuwakamata watu wanaofanya biashara ya ngono katika nyumba za starehe na mitaa maarufu ...
Blog Archive
-
▼
2014
(168)
-
▼
December
(168)
- BAADA YA KIMYA CHA MUDA MREFU MREMBO RAYUU AIBUKA ...
- Polisi Yatangaza Msako kwa Wanawake Wanaofanya Bia...
- Nimeamua Kutoka Kimapenzi na Binti wa Kazi ( Hausi...
- Samantha Apokelewa Kwa Mikono Miwili na Familia ya...
- PHOTO’S: HIVI NDIVYO ALIVYOPOKELEWA DIAMOND NA KUN...
- SIMBA YAFUKUZA MAKOCHA
- DIAMOND PLATNUMZ ATUA RWANDA KWA SHANGWE
- WAIMBA INJILI WANA NINI?
- MWANAMKE ADAIWA KUTEKA WATOTO
- BASTOLA TISHIO DAR!
- VANESSA AWATOA KIMASOMASO WASANII WA KIKE
- Bilionea wa Nigeria ampiku Oprah na kuwa mwanamke ...
- Mvua Yaua Jijini Dar.....Mtoto Asombwa na Maji aki...
- Binti Ajizalisha na kutumbukiza mtoto kwenye ndoo
- Mgombea urais atabiriwa kifo.....Yadaiwa Atafariki...
- Washitakiwa mauaji ya Dk Mvungi wazua kizaazaa mah...
- Hili ni Fundisho Kwa Wanaume Wanaopenda Kutongoza ...
- MAKAVU LIVE!!!:: UTAMU WA MUA UKIKUTANA NA KIFUNDO...
- Wajua Jinsi ya Kumdhibiti Mpenzi Anayepiga Mizinga?
- PICHA ZA UTAMU ZA DENTI WA CHUO KIKUU CHA UDOM ZAN...
- Bi dada... Utafanya nini? Mmeo Anatembea na binti ...
- Waziri Nyalandu atangaza nia ya kuwa Rais wa Tanzania
- Kashfa ya Escrow ndo sababu kuu ya Anguko la CCM-W...
- Tibaijuka: Nitagombea Ubunge Mwakani licha ya Saka...
- Mwenyekiti wa CHADEMA Atimuliwa nchini kwa madai k...
- UCHAWI:BIBI KIZEE AKUTWA KAANGUKA NJE YA KANISA AS...
- TAZAMA JINSI SIKUKUU YA KRISMAS INAVYOENDELEA KATI...
- BAADA YA KIMYA KIREFU MSANII 'Q CHIEF' SASA KUACHA...
- LAANA YA SIKU : :VIJANA WAFANYA USHENZI KUPITILIZA
- LAANA..!!! BOFYA UONEE VIZURII DADA HUYU ALIVYOAMU...
- PICHA ZA UCHI ZA MSANII MAARUFU WA KIKE AKILIWA TI...
- ZAIDI YA LAANA: HUU NDIOUCHAFU ULIOFANYIKA JANA KW...
- RAIS OBAMA AITWA TUMBILI NA KOREA KASKAZINI!
- DAVINA:STEVE NYERERE NI MTU POA ILA ANA VIMATATIZO...
- DIAMOND PLATNUMZ HANA UWEZO WA KUMPA MWANAMKE UJAU...
- KAKA NA DADA WANASWA LAIVU WAKIFANYA MAPENZI,WAFAN...
- MAJANGA !!! MKE WA MTU AWEKA PICHA CHAFU KATIKA UK...
- WASTARA KUMUANIKA MRITHI WA SAJUKI
- Hizi Ndizo Sifa Za Mtu Anayefaa Kuwa Rais Ajaye ,W...
- Dunia Imeisha Tizama Picha Za Hawa Wadada Walizopo...
- DAVIDO ALA DENDA NA SHABIKI AKIWA STEJINI!!!
- DUNIA IMEKWISHA CHEKI PICHA YA MCHUMBA WA MTU AKIN...
- AFARIKI DUNIA BAAADA YA KULIPULIWA NA BOMU ALILOTA...
- HILI NI FUNDISHO KWA WAKE ZA MARAISI AFRIKA!!!HUYU...
- LIPUMBA NA ZITTO KABWE WAPANGA KUWASHA MOTO WA ESC...
- HIVI NDIVYO TIBAIJUKA ALIVYOTEMA CHECHE HUKO JIMBO...
- HIVI UNAFAHAMU KUWA LIPUMBA ALISHAWAHI KUWA MSAIDI...
- BUBU Afanyiwa Unyama wa Kutisha......Wanaume Watan...
- Hausiboi Aliyelawiti Mtoto wa Miaka 6 Ahukumiwa Ki...
- BAKWATA Yasisitiza kuwa Maamuzi ya Rais Kikwete ku...
- Matokeo Mabaya ya CCM Singida: Nyalandu Abebeshwa ...
- HII NI NOMA..!! JIONEE PICHA 15 ZA HUYU MZUNGU ALI...
- JINSI YA KUJIZUIA USIKOJOE MAPEMA NA HIVYO KUSHIND...
- Krismasi ni Escrow kila kona
- Vijana Watatu Wakamatwa Wakijaribu Kuiba Sanamu ya...
- Rais Kikwete atakiwa kuwachukulia hatua Mawaziri W...
- CCM yaongoza matokeo ya jumla serikali za mitaa
- Ukawa Mkilifanya Hili, 2015 Mnashinda kwa Zaidi ya...
- Ray C: Nina uhakika Alikiba Akipata Support ya Dia...
- Panapo Fuka Moshi Kuna Moto..Habari za Millard Ayo...
- Bifu la Davido na Wizkid Limeisha, La Ally Kiba na...
- Sserunkuma atupia mbili, aonyesha cheche Zenji
- SAFARI YA MABALOZI KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KATIK...
- VODACOM TANZANIA ILIVYOWARUSHA WATEJA WAKE KILA KO...
- Waziri Muhongo aanza Ziara ya Siku 6 Mkoani Mara k...
- MADAWA YA KULEVYA HATARI ZAIDI KWA WASANII
- KUNDI LILILOPATA PIGO ZAIDI 2012-14
- SHOO YA DIAMOND DAR LIVE YAACHA HISTORIA
- R.I.P WASANII WETU! KINACHOWAUA KWA KASI CHAJULIKANA
- FAIZA: MIMI SIYO MBULULA KWA KUVAA PEMPASI
- BALAA LA KRISMASIMREMBO APOTEZA FAHAMU
- DUH!! JE WAJUA KILICHOMPATA MENEJA WA CLOUDS JUU Y...
- AIBU YA MWAKA!!!!!! TAZAMA ALICHOFANYIWA DADA HUYU...
- PICHA ZA WATU WAZIMA WAKINGONOKA HADHARANI HII NI ...
- TAMASHA LA TUONANE JANUARY (TUO8 JANUARY) LAFANA M...
- JINSI YA KUMTOA MWANAMKE BIKRA BILA MAUMIVU ........
- Diamond Aeleza Demu Aliemtungia Wimbo Wake Mpya Wa...
- Ona Mama Diamond Jinsi Anavoonekana Kuwa Chanzo Ch...
- FUMANIZI!!! PATA KUONA ALICHOFANYIWA DADA HUYU BAA...
- MJUE MKE MTARAJIWA WA MASANJA MKANDAMIZAJI!, IONE ...
- WANACHUO WANAOPIGA PICHA ZA UTUPU WAZIDI KUONGEZEK...
- Baadhi ya Picha za Wema na Van Vicker Wakiwa Katik...
- Nimeamini, Mabinti wa Kichaga Hawajui Mapenzi Hata...
- Wavulana Ma-handsome Hawana Lolote Kitandani..Kazi...
- Yamenikuta: Mchumba wangu amezaa angali bikra
- Rais Kikwete Akutana na Msanii Diamond Platnumz Ik...
- JOKATE: SIJAWAHI KUROGA ILI NIFANIKIWE
- WEWE TIBAIJUKA! JEMBE LISILOLIMA LINA FAIDA GANI?
- DIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI!
- Wema Sepetu Apandishwa Kizimbani
- Mume Ajinyonga Ukweni baada ya Mkewe Kumkataa
- Baada ya Kupotea Kwa Muda Mrefu Agness Masogange A...
- Headmistress Caught Being Banged By Her Watchman I...
- Wema Ampongeza Jokate Lakini Asisitiza Kuendelea K...
- Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 22 Disemba 2014
- Mke wa Mtu Anaswa Akijiuza Kusaka Pesa za Christmass
- Diamond: Aliyenifundisha Kuongea Kiingereza ni Pen...
- CHADEMA Watoa Tahadhari kwa Rais kuhusu Kuwatetea ...
- MTOTO WA JACKIE CHAN ASHITAKIWA KWA DAWA ZA KULEVYA
- MWENYEKITI WA PROIN, JOHNSON LUKAZA NA MDOGO WAKE ...
-
▼
December
(168)
0 comments:
Post a Comment