Tuesday, December 16, 2014
On 5:05 AM by Unknown No comments
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete jana, Jumatatu, Desemba 8, 2014, amefungua rasmi Jengo la Shughuli Nyingi (Multipurpose Hall) la Ikulu katika moja ya shughuli zake za kwanza baada ya kuanza rasmi kazi kufuatia upasuaji mwezi uliopita.

Sherehe hiyo ya ufunguzi wa Jengo hilo lililoko upande wa kushoto wa Bustani za Ikulu upande wa Lango Kuu la Ikulu, zimehudhuriwa na Mawaziri, Makatibu Wakuu na viongozi waandamizi wa Serikali wakiongozwa na Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mheshimiwa Anne Makinda.
Mara baada ya kufungua rasmi Jengo hilo lenye vyumba 53, Rais Kikwete ametembezwa kuona shughuli zitakazofanyika kwenye Jengo hilo ambalo ukumbi wake mkubwa una uwezo wa kubeba watu kati ya 500 na 1,000 kwa wakati mmoja.
Akimkaribisha Rais Kikwete kufungua Jengo hilo, Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) Balozi Ombeni Sefue ambaye ndiye alikuwa msimamizi mkuu wa Mradi wa Ujenzi huo, alisema kuwa ukumbi huo mkubwa unaweza pia kugawanyika na kuwa na kumbi tatu kubwa na kutumika kwa wakati mmoja.
Balozi Sefue amesema kuwa Jengo hilo pia lina vyumba viwili vya mikutano vya kuweza kubeba watu 30 na 60, chumba cha Wageni Mashuhuri na jiko lake dogo, chumba cha utawala, chumba cha habari na mikutano ya waandishi wa habari, chumba cha usalama, mgahawa, jiko kubwa lenye chumba cha kuokea na chumba cha kuwashia mitambo itakayotumika katika Jengo hilo.
Kufunguliwa kwa Jengo hilo ni matokeo ya maelekezo ambayo Rais Kikwete aliyatoa mjini Dodoma Agosti 21, 2009, wakati alipoelekeza kujengwa kwa Jengo hilo kwa nia ya kuongeza nafasi ya kufanyia shughuli mbali mbali Ikulu kwa kutilia maanani kuwa nafasi imekuwa finyu kwenye Jengo la sasa la Ikulu lililojengwa mwaka 1902. Aidha, alitaka uwepo ukumbi mkubwa wa mikutano ili kuondokana na gharama za kukodi kumbi wakati wa mikutano ya Ikulu ikiwemo mikutano ya viongozi wa nchi za nje.
Maandalizi ya ujenzi yalianza mwaka wa fedha wa 2010/2011 na kazi ya maandalizi ya kumpata mkandarasi ilichukua miaka miwili na hatimaye ujenzi wenyewe ulianza Agosti 22, mwaka 2012.

Sherehe hiyo ya ufunguzi wa Jengo hilo lililoko upande wa kushoto wa Bustani za Ikulu upande wa Lango Kuu la Ikulu, zimehudhuriwa na Mawaziri, Makatibu Wakuu na viongozi waandamizi wa Serikali wakiongozwa na Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mheshimiwa Anne Makinda.
Mara baada ya kufungua rasmi Jengo hilo lenye vyumba 53, Rais Kikwete ametembezwa kuona shughuli zitakazofanyika kwenye Jengo hilo ambalo ukumbi wake mkubwa una uwezo wa kubeba watu kati ya 500 na 1,000 kwa wakati mmoja.
Akimkaribisha Rais Kikwete kufungua Jengo hilo, Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) Balozi Ombeni Sefue ambaye ndiye alikuwa msimamizi mkuu wa Mradi wa Ujenzi huo, alisema kuwa ukumbi huo mkubwa unaweza pia kugawanyika na kuwa na kumbi tatu kubwa na kutumika kwa wakati mmoja.
Balozi Sefue amesema kuwa Jengo hilo pia lina vyumba viwili vya mikutano vya kuweza kubeba watu 30 na 60, chumba cha Wageni Mashuhuri na jiko lake dogo, chumba cha utawala, chumba cha habari na mikutano ya waandishi wa habari, chumba cha usalama, mgahawa, jiko kubwa lenye chumba cha kuokea na chumba cha kuwashia mitambo itakayotumika katika Jengo hilo.
Kufunguliwa kwa Jengo hilo ni matokeo ya maelekezo ambayo Rais Kikwete aliyatoa mjini Dodoma Agosti 21, 2009, wakati alipoelekeza kujengwa kwa Jengo hilo kwa nia ya kuongeza nafasi ya kufanyia shughuli mbali mbali Ikulu kwa kutilia maanani kuwa nafasi imekuwa finyu kwenye Jengo la sasa la Ikulu lililojengwa mwaka 1902. Aidha, alitaka uwepo ukumbi mkubwa wa mikutano ili kuondokana na gharama za kukodi kumbi wakati wa mikutano ya Ikulu ikiwemo mikutano ya viongozi wa nchi za nje.
Maandalizi ya ujenzi yalianza mwaka wa fedha wa 2010/2011 na kazi ya maandalizi ya kumpata mkandarasi ilichukua miaka miwili na hatimaye ujenzi wenyewe ulianza Agosti 22, mwaka 2012.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Search
Translate
Popular Posts
-
Leo wanawake wenzangu kwenye safu yetu hii pendwa nimewaletea mada moja nzito ambayo ukiiendekeza unavunja nyumba yako hivihivi unajiona.H...
-
Utandawazi utawaabisha wengi kwani hizi simu zetu ukizubaa kidogo mtu anakupiga picha hata kama hujadhamiria kufanya hivi.
-
Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela AIBU ilioje! Denti wa chuo kimoja jijini Dar, anayefahamika kwa jina moja la Martha, amepiga...
-
Hebu niambie...umeshawahi kujichua? Mara ngapi? Bado unaendelea na mchezo huo? Vipi, umewahi kusikia watu wakizungumza kuhusu suala hilo? ...
-
Wanachuo wazidi kuwa mfano mbaya licha kuonekana wasomi na ndio tegemeo kwa taifa la kesho lakini cha ajabu wanazidi kufanya madudu badal...
-
MDADA MWENYEWE NI HUYU. DENT mmoja katika Chuo Kikuu kimojawapo hapa nchini amepiga picha zisizo na maadili akiwa na njemba wake katika ...
-
Kweli dunia inamambo watu kadhaa wamekamatwa na kamera zetu wkingonoka bila uoga wowote tena hadharani hebu ona picha hapa
-
Hivi Majuzi mke wa Mchungaji mmoja amekamatwa laivu akingonoka vichakani umbali kidogo kutoka katika nyumbani kwake Mke wa Mchungaji a...
-
Polisi mkoani Tanga wamesema wataendesha msako wa kuwakamata watu wanaofanya biashara ya ngono katika nyumba za starehe na mitaa maarufu ...
Blog Archive
-
▼
2014
(168)
-
▼
December
(168)
- BAADA YA KIMYA CHA MUDA MREFU MREMBO RAYUU AIBUKA ...
- Polisi Yatangaza Msako kwa Wanawake Wanaofanya Bia...
- Nimeamua Kutoka Kimapenzi na Binti wa Kazi ( Hausi...
- Samantha Apokelewa Kwa Mikono Miwili na Familia ya...
- PHOTO’S: HIVI NDIVYO ALIVYOPOKELEWA DIAMOND NA KUN...
- SIMBA YAFUKUZA MAKOCHA
- DIAMOND PLATNUMZ ATUA RWANDA KWA SHANGWE
- WAIMBA INJILI WANA NINI?
- MWANAMKE ADAIWA KUTEKA WATOTO
- BASTOLA TISHIO DAR!
- VANESSA AWATOA KIMASOMASO WASANII WA KIKE
- Bilionea wa Nigeria ampiku Oprah na kuwa mwanamke ...
- Mvua Yaua Jijini Dar.....Mtoto Asombwa na Maji aki...
- Binti Ajizalisha na kutumbukiza mtoto kwenye ndoo
- Mgombea urais atabiriwa kifo.....Yadaiwa Atafariki...
- Washitakiwa mauaji ya Dk Mvungi wazua kizaazaa mah...
- Hili ni Fundisho Kwa Wanaume Wanaopenda Kutongoza ...
- MAKAVU LIVE!!!:: UTAMU WA MUA UKIKUTANA NA KIFUNDO...
- Wajua Jinsi ya Kumdhibiti Mpenzi Anayepiga Mizinga?
- PICHA ZA UTAMU ZA DENTI WA CHUO KIKUU CHA UDOM ZAN...
- Bi dada... Utafanya nini? Mmeo Anatembea na binti ...
- Waziri Nyalandu atangaza nia ya kuwa Rais wa Tanzania
- Kashfa ya Escrow ndo sababu kuu ya Anguko la CCM-W...
- Tibaijuka: Nitagombea Ubunge Mwakani licha ya Saka...
- Mwenyekiti wa CHADEMA Atimuliwa nchini kwa madai k...
- UCHAWI:BIBI KIZEE AKUTWA KAANGUKA NJE YA KANISA AS...
- TAZAMA JINSI SIKUKUU YA KRISMAS INAVYOENDELEA KATI...
- BAADA YA KIMYA KIREFU MSANII 'Q CHIEF' SASA KUACHA...
- LAANA YA SIKU : :VIJANA WAFANYA USHENZI KUPITILIZA
- LAANA..!!! BOFYA UONEE VIZURII DADA HUYU ALIVYOAMU...
- PICHA ZA UCHI ZA MSANII MAARUFU WA KIKE AKILIWA TI...
- ZAIDI YA LAANA: HUU NDIOUCHAFU ULIOFANYIKA JANA KW...
- RAIS OBAMA AITWA TUMBILI NA KOREA KASKAZINI!
- DAVINA:STEVE NYERERE NI MTU POA ILA ANA VIMATATIZO...
- DIAMOND PLATNUMZ HANA UWEZO WA KUMPA MWANAMKE UJAU...
- KAKA NA DADA WANASWA LAIVU WAKIFANYA MAPENZI,WAFAN...
- MAJANGA !!! MKE WA MTU AWEKA PICHA CHAFU KATIKA UK...
- WASTARA KUMUANIKA MRITHI WA SAJUKI
- Hizi Ndizo Sifa Za Mtu Anayefaa Kuwa Rais Ajaye ,W...
- Dunia Imeisha Tizama Picha Za Hawa Wadada Walizopo...
- DAVIDO ALA DENDA NA SHABIKI AKIWA STEJINI!!!
- DUNIA IMEKWISHA CHEKI PICHA YA MCHUMBA WA MTU AKIN...
- AFARIKI DUNIA BAAADA YA KULIPULIWA NA BOMU ALILOTA...
- HILI NI FUNDISHO KWA WAKE ZA MARAISI AFRIKA!!!HUYU...
- LIPUMBA NA ZITTO KABWE WAPANGA KUWASHA MOTO WA ESC...
- HIVI NDIVYO TIBAIJUKA ALIVYOTEMA CHECHE HUKO JIMBO...
- HIVI UNAFAHAMU KUWA LIPUMBA ALISHAWAHI KUWA MSAIDI...
- BUBU Afanyiwa Unyama wa Kutisha......Wanaume Watan...
- Hausiboi Aliyelawiti Mtoto wa Miaka 6 Ahukumiwa Ki...
- BAKWATA Yasisitiza kuwa Maamuzi ya Rais Kikwete ku...
- Matokeo Mabaya ya CCM Singida: Nyalandu Abebeshwa ...
- HII NI NOMA..!! JIONEE PICHA 15 ZA HUYU MZUNGU ALI...
- JINSI YA KUJIZUIA USIKOJOE MAPEMA NA HIVYO KUSHIND...
- Krismasi ni Escrow kila kona
- Vijana Watatu Wakamatwa Wakijaribu Kuiba Sanamu ya...
- Rais Kikwete atakiwa kuwachukulia hatua Mawaziri W...
- CCM yaongoza matokeo ya jumla serikali za mitaa
- Ukawa Mkilifanya Hili, 2015 Mnashinda kwa Zaidi ya...
- Ray C: Nina uhakika Alikiba Akipata Support ya Dia...
- Panapo Fuka Moshi Kuna Moto..Habari za Millard Ayo...
- Bifu la Davido na Wizkid Limeisha, La Ally Kiba na...
- Sserunkuma atupia mbili, aonyesha cheche Zenji
- SAFARI YA MABALOZI KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KATIK...
- VODACOM TANZANIA ILIVYOWARUSHA WATEJA WAKE KILA KO...
- Waziri Muhongo aanza Ziara ya Siku 6 Mkoani Mara k...
- MADAWA YA KULEVYA HATARI ZAIDI KWA WASANII
- KUNDI LILILOPATA PIGO ZAIDI 2012-14
- SHOO YA DIAMOND DAR LIVE YAACHA HISTORIA
- R.I.P WASANII WETU! KINACHOWAUA KWA KASI CHAJULIKANA
- FAIZA: MIMI SIYO MBULULA KWA KUVAA PEMPASI
- BALAA LA KRISMASIMREMBO APOTEZA FAHAMU
- DUH!! JE WAJUA KILICHOMPATA MENEJA WA CLOUDS JUU Y...
- AIBU YA MWAKA!!!!!! TAZAMA ALICHOFANYIWA DADA HUYU...
- PICHA ZA WATU WAZIMA WAKINGONOKA HADHARANI HII NI ...
- TAMASHA LA TUONANE JANUARY (TUO8 JANUARY) LAFANA M...
- JINSI YA KUMTOA MWANAMKE BIKRA BILA MAUMIVU ........
- Diamond Aeleza Demu Aliemtungia Wimbo Wake Mpya Wa...
- Ona Mama Diamond Jinsi Anavoonekana Kuwa Chanzo Ch...
- FUMANIZI!!! PATA KUONA ALICHOFANYIWA DADA HUYU BAA...
- MJUE MKE MTARAJIWA WA MASANJA MKANDAMIZAJI!, IONE ...
- WANACHUO WANAOPIGA PICHA ZA UTUPU WAZIDI KUONGEZEK...
- Baadhi ya Picha za Wema na Van Vicker Wakiwa Katik...
- Nimeamini, Mabinti wa Kichaga Hawajui Mapenzi Hata...
- Wavulana Ma-handsome Hawana Lolote Kitandani..Kazi...
- Yamenikuta: Mchumba wangu amezaa angali bikra
- Rais Kikwete Akutana na Msanii Diamond Platnumz Ik...
- JOKATE: SIJAWAHI KUROGA ILI NIFANIKIWE
- WEWE TIBAIJUKA! JEMBE LISILOLIMA LINA FAIDA GANI?
- DIAMOND AANIKA SABABU 5 ZA KUMPENDA ZARI!
- Wema Sepetu Apandishwa Kizimbani
- Mume Ajinyonga Ukweni baada ya Mkewe Kumkataa
- Baada ya Kupotea Kwa Muda Mrefu Agness Masogange A...
- Headmistress Caught Being Banged By Her Watchman I...
- Wema Ampongeza Jokate Lakini Asisitiza Kuendelea K...
- Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 22 Disemba 2014
- Mke wa Mtu Anaswa Akijiuza Kusaka Pesa za Christmass
- Diamond: Aliyenifundisha Kuongea Kiingereza ni Pen...
- CHADEMA Watoa Tahadhari kwa Rais kuhusu Kuwatetea ...
- MTOTO WA JACKIE CHAN ASHITAKIWA KWA DAWA ZA KULEVYA
- MWENYEKITI WA PROIN, JOHNSON LUKAZA NA MDOGO WAKE ...
-
▼
December
(168)
0 comments:
Post a Comment