Thursday, January 1, 2015
On 12:15 PM by Unknown in Download No comments
Fibroids au Mayoma
Hizi ni vimbe zinazotokea katika mji wa mimba na hizi ndizo vimbe zinazowasumbua watu wengi sana katika jamii yetu ya sasa, na dalili zake ni kama;
Hizi ni vimbe zinazotokea katika mji wa mimba na hizi ndizo vimbe zinazowasumbua watu wengi sana katika jamii yetu ya sasa, na dalili zake ni kama;
Mwanamke hupatwa na maumivu chini ya kitovu lakini ni katikati siyo upande wa kulia wala upande wa kushoto na mara nyingi maumivu haya huambatana na maumivu ya kiuno, maumivu ya mgongo na maumivu hayo huenda hadi sehemu za mapaja na kushuka hadi miguuni na maumivu haya huwa makali sana hasa wakati wa hedhi. Ukiona unaandamwa na dalili hizi basi ujue kuna uwezekano ukawa na Fibroids au Mayoma.
Kuongezeka kwa ukubwa wa tumbo, mwanamke ukiona tumbo linaongezeka ukubwa na unasikia kama kuna kitu kinatembea ndani ya tumbo, wakati huohuo unaandamwa na maumivu makali chini ya kitovu kwa katikati na maumivu makali sana wakati wa hedhi basi ni dalili kubwa nawe ukawa na Fibroids au Mayoma.
Polycystic ovarian syndromes {PCOS} au Multiple cysts
Hizi ni zile vimbe ndogondogo nyingi zinazoweza kutokea kwenye kifuko cha mayai cha mwanamke, lakini nazo pia huweza kutokea katika pande zote mbili za vifuko vya mayai kwa mwanamke. Nazo zina dalili zake mbalimbali, nazo ni kama;
Hizi ni zile vimbe ndogondogo nyingi zinazoweza kutokea kwenye kifuko cha mayai cha mwanamke, lakini nazo pia huweza kutokea katika pande zote mbili za vifuko vya mayai kwa mwanamke. Nazo zina dalili zake mbalimbali, nazo ni kama;
Mwanamke kuwa na vinyweleo vingi katika mwili wake hasa kwenye mikono au kwenye miguu au anakuwa na ndevu au kifuani (garden love) na hii ni kwa sababu mwanamke huyu anakuwa na hormone nyingi sana za androgen yaani anakuwa na hormone nyingi za kiume, basi ukiona dalili kama hizo ni vema kuwahi hospitali.
Pia kuna hali ya kuvurugika hedhi ya mwanamke na kuwa haieleweki na pia kuwa na maumivu ya kiuno upande wa kulia au wa kushoto nayo pia inakuwa ni dalili kubwa sana ya PCOS au Multiple cysts hivyo ni vema kuchukua hatua za haraka.
Hali ya kutokwa na uchafu sehemu za siri kwa mwanamke ni moja ya dalili hasa uchafu huo unapokuwa hauna harufu na wala hauwashi basi ujue kuwa kuna uwezekano mkubwa nawe ukawa na PCOS au Multiple cysts.
Hydrosulpinx.
Hii ni ile hali ya mwanamke kujaa maji katika mirija yake ya kizazi na mirija hiyo inakuwa haipitishi mayai ya uzazi. Dalili yake kubwa ni kuwa na maumivu makali sana kwenye kiuno ambayo huweza kutokea upande mmoja au yakatokea pande zote mbili na huenda hata maumivu yanayotokea upande, yote haya yanaisha bila kufanya upasuaji.
Hii ni ile hali ya mwanamke kujaa maji katika mirija yake ya kizazi na mirija hiyo inakuwa haipitishi mayai ya uzazi. Dalili yake kubwa ni kuwa na maumivu makali sana kwenye kiuno ambayo huweza kutokea upande mmoja au yakatokea pande zote mbili na huenda hata maumivu yanayotokea upande, yote haya yanaisha bila kufanya upasuaji.
Dalili zipo nyingi sana na tukianza kuziongelea zote basi inaweza kuchukua mwezi. Lakini tutaishia hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Search
Translate
Popular Posts
-
Leo wanawake wenzangu kwenye safu yetu hii pendwa nimewaletea mada moja nzito ambayo ukiiendekeza unavunja nyumba yako hivihivi unajiona.H...
-
Utandawazi utawaabisha wengi kwani hizi simu zetu ukizubaa kidogo mtu anakupiga picha hata kama hujadhamiria kufanya hivi.
-
Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela AIBU ilioje! Denti wa chuo kimoja jijini Dar, anayefahamika kwa jina moja la Martha, amepiga...
-
Hebu niambie...umeshawahi kujichua? Mara ngapi? Bado unaendelea na mchezo huo? Vipi, umewahi kusikia watu wakizungumza kuhusu suala hilo? ...
-
Wanachuo wazidi kuwa mfano mbaya licha kuonekana wasomi na ndio tegemeo kwa taifa la kesho lakini cha ajabu wanazidi kufanya madudu badal...
-
MDADA MWENYEWE NI HUYU. DENT mmoja katika Chuo Kikuu kimojawapo hapa nchini amepiga picha zisizo na maadili akiwa na njemba wake katika ...
-
Kweli dunia inamambo watu kadhaa wamekamatwa na kamera zetu wkingonoka bila uoga wowote tena hadharani hebu ona picha hapa
-
Hivi Majuzi mke wa Mchungaji mmoja amekamatwa laivu akingonoka vichakani umbali kidogo kutoka katika nyumbani kwake Mke wa Mchungaji a...
-
Polisi mkoani Tanga wamesema wataendesha msako wa kuwakamata watu wanaofanya biashara ya ngono katika nyumba za starehe na mitaa maarufu ...
Blog Archive
-
▼
2015
(18)
-
▼
January
(18)
- NDOA YA LULU YABUMA!
- DIAMOND PLATNUMZ AFUNIKA SIKU YA MWAKA MPYA KIGALI...
- MAJENGO YABOMOKA MENGINE HATARINI KUWAANGUKIA WATO...
- URAIS 2015: NYALANDU AKESHA AKICHEZA SEBENE!
- WEMA:Van Vicker Alichangia Niachane na Diamond
- "Sijawahi kutoa wala kupokea Rushwa na bado nina d...
- Mke wa Mtu Asaula Nguo Akimfuta Jasho Bi. Harusi
- Jokate Ampa Makavu Diamond.......Asema hana Akili ...
- Aunt Ezekiel: Mume wangu Hajui kama nina Mimba
- Jokate: Sipendi Kutomaswa Kwenye Filamu za Mambo y...
- DAH NENO MOJA KWA HUYU MWANADADA>>>HIVI ATAKUWA AN...
- HUYU NDIO MWANA MAMA MWENYE MAZIWA MAKUBWA ZAIDI H...
- Elimu ya Sekondari itakuwa BURE kuanzia 2016 - Jak...
- Werema apokelewa kwa furaha kijijini kwake
- TAMBUA VIMBE MBALIMBALI KWA MWANAMKE NA JINSI YA K...
- AIBU FUNGA MWAKA! MREMBO WA BONGO MOVIE ANASWA USI...
- USIWE MBULULA, UNA HAKI YA KUPENDA ILA ‘USIFOSI’ M...
- ROSE MHANDO ATUMBUIZA NA KITUMBO
-
▼
January
(18)
0 comments:
Post a Comment